JINSI YA KUTENGENEZA TOMATO SAUCE:
2.
Vitunguu viwili
3.
Vinegar vijiko vitatu vya
chai
4.
Sukari vijiko viwili vya
chai
5.
Sodium Benzoate nusu
kijiko cha chai
6.
Chumvi kijiko kimoja cha
chai
7.
Maji ya moto kikombe
kimoja cha chai
8.
Mafuta ya kula yasiyoganda
vijiko saba vya kula
JINSI YA KUANDAA NA KUITAYARISHA TOMATO SOURCE:
1.
Osha nyanya na vitunguu kwa maji safi na
salama
2.
Menya nyanya na vitunguu kisha kata vipande
vidogovidogo
3.
Weka malighafi kuanzia namba moja mpaka
namba nne katika blenda kulingana na uwiano hapo juu na saga kwa dakika kadhaa
mpaka uone rojo laini.
4.
Weka sufuria jikoni na weka mafuta ya kula
na uache yachemke
5.
Mimina mseto kisha uanze kukoroga kwa
dakika 30 kuelekea upande mmoja
6.
Baada ya hapo ipua mseto na utakuwa tayari
kwa kufungasha
7.
Weka kwenye chupa na bandika lebo
8.
Peleka
sokoni

